Wednesday 6 July 2016

WASICHANA CONGO WATUMIA DAWA ZA KUREJESHA BIKIRA

WASICHANA CONGO WATUMIA DAWA KUREJESHA BIKIRA ZAO, JE! DAWA INAFANYA KAZI?


Baadhi ya wanawake nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo wanadaiwa kutumia dawa ili kurejesha tena ubikira wao kwa lengo la kujiongezea thamani wakati wanapofunga ndoa.
Inaaminika kuwa hicho ni moja ya vigezo muhimu kuonyesha kuwa msichana alikua na kulelewa katika maadili mazuri nyumbani kwao kwa mjibu wa mila na desturi zao.
Je dawa hizi zipo?
Je dawa hizo zinaweza kurejesha heshima hiyo hata kama msichana alikuwa kwenye mahusiano tayari?

No comments:

Post a Comment