Wednesday 6 July 2016

BEI MPYA ZA MAFUTA

 BEI MPYA ZA MAFUTA KUTOKA EWURA
  
EWURA ilitangaza  bei mpya za mafuta Jana tarehe Julai 5 ambapo  kuanzia kutumika Jumatano Julai 6 ikiwa ni mabadiliko ya gharama katika soko la dunia.
Zifuatazo ni bei halisi za Mafuta kutoka EWURA
    • > Petrol inauzwa kwa shilingi 1,888 badala ya bei ya awali ambayo ilikuwa ni shilingi 1,865,
  • > Diesel inauzwa kwa shilingi 1,720 badala ya bei ya awali ambayo ilikuwa ni shilingi 1,633 na
  • > Mafuta ya taa yanauzwa shilingi 1,687 badala ya bei ya awali ambayo ni shilingi 1,607.





No comments:

Post a Comment