EWURA ilitangaza bei mpya za mafuta Jana tarehe Julai 5 ambapo kuanzia kutumika Jumatano Julai 6 ikiwa ni mabadiliko ya gharama katika soko la dunia.
Zifuatazo ni bei halisi za Mafuta kutoka EWURA
- > Petrol inauzwa kwa shilingi 1,888 badala ya bei ya awali ambayo ilikuwa ni shilingi 1,865,
- > Diesel inauzwa kwa shilingi 1,720 badala ya bei ya awali ambayo ilikuwa ni shilingi 1,633 na
- > Mafuta ya taa yanauzwa shilingi 1,687 badala ya bei ya awali ambayo ni shilingi 1,607.
No comments:
Post a Comment